Klabu Tajiri Kuliko Zote Duniani, Imethibitisha Umwamba Wake Hasa Baada Ya Kutwaa Taji La Kabu Bingwa Barani Ulaya Kwa Mara Ya 11 Sasa.
Real Madrid Wametwaa Ubngwa Huo Mbele Ya Wapinzani Wao Wakuu Kutoka Jiji Hilo Hilo La Madrid Klabu Ya Atletico Madrid.
Real Wamefanikiwa Kuwafunga Atletio Kwa Mikwaju Ya Penati 5 - 3 Walizopata Atletico Huku Cristiano Ronald Akifunga Penati Ya Mwisho Iliyoipa Madrid Kombe La Klabu Bingwa Ulaya Kwa Mara Ya 11.
Miamba Hiyo Ya Madrid Ilitoshana Nguvu Ya Bao Moja Kwa Moja Ndani Ya Dakika 90 Ambapo Magoli Yalifungwa Na Sergio Ramos dakika 15 Kwa Real Madrid Na Upande Wa Atletico Goli lilifungwa Dakika Ya 79 Na Ferraira Carrasco.
Pongezi Kutoka Kwa Ancelotti
Wanasemaje WadauCongratulations! / Enhorabuena! @realmadrid #uclfinal— Carlo Ancelotti (@MrAncelotti) May 28, 2016
Zinedine Zidane is the 1st French coach to win the EC/CL & the 7th man to win the competition as a player and a coach #UCLfinal— Sky Sports Statto (@SkySportsStatto) May 28, 2016
Tazama Mechi Hiyo Ilivyokuwa HapaThe best team lost... and that is football. Ronaldo didn't make this final his own but brave as always, wanted the 5th and most tense penal— Guillem Balague (@GuillemBalague) May 28, 2016
Kombe Lilipokelewa Kwa Furaha Hii



0 comments:
Post a Comment